Habari za wiki

UM na wasi wasi wa mapigano mapya kwenye jimbo la Warrap nchini Sudan Kusini »

mapigano mapya nchini Sudan Kusini

Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imeelezea wasi wasi kufutia ripoti za mapigano mapya kwenye jimbo…

03/02/2012 / Kusikiliza /

Kaing Guek Eav ahukumiwa kifungo cha maisha gerezani »

Kaing Guek Eav

Mahakama ya juu nchini Cambodia hii leo imempa Kaing Guek Eav ambaye pia anajulikana kama Duch kifungo cha Maisha gerezani…

03/02/2012 / Kusikiliza /
WHO yatoa mwongozo kuhusu matumizi ya madawa ya homoni » Gaza ni suala linalopewa kipaumbele na UM:Ban »

Mahojiano na Makala za wiki

Tatizo la Saratani, adha na athari zake kwa nchi zinazoendelea hasa Afrika »

kiini cha Saratani

Ugonjwa wa Saratani ndio unaoongoza kwa kuua duniani, huku shirika la afya duniani WHO likisema asilimia 13 ya vifo vyote duniani vilivyotokea…

03/02/2012 / Kusikiliza /

Balozi Mulamula aliaga kongamano la maziwa makuu »

Balozi Liberata Mulamla

Balozi Liberata Mulamula aliyekuwa katibu mkuu wa Kongamano la kimataifa la maziwa makuu amekamilisha muhula wake wa miaka mitano kwenye uongozi wa…

27/01/2012 / Kusikiliza /
Serikali na wadau wa afya wakabiliana na kipindupindu DRC » Tanzania yapata fundisho kutokana na mafuriko ya Desemba:Tibaijuka »

Mahiga amefurahi sana kwa hatua ya kihistoria ya kuhamisha ofisi yake Somalia »

Balozi Augustine Mahiga akiwa nchini Somalia

Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia Balozi Augustine Mahiga amesema Alhamisi kuwa amefurahi sana kufanikiwa kuhamisha ofisi yake kutoka mjini…

26/01/2012 / Kusikiliza /

Tanzania inadai maili 350 katika bahari ya Hindi »

Bahari ya Hindi

Tanzania imewasilisha ombi la kuongeza eneo la maili 150 hadi 200 za eneo lililo chini ya udhibiti wake kwenye bahari ya Hindi.…

20/01/2012 / Kusikiliza /
Misri yataka makubaliano mapya kuhusu matumizi ya mto Nile » Siku ya kimataifa ya wahamiaji »

Baraza Kuu -GA na Baraza la Usalama

Nassir Abdulaziz Al-Nasser

Rais wa Baraza Kuu la UM akutana na maafisa wa Ufaransa kujadilia maendeleo endelevu »

Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa amekuwa na majadiliano na maafisa wa ngazi ya juu ya Ufaransa wakijadilia masuala mbalimbali lakini lile walilolipa uzito zaidi ni juu ya…

03/02/2012 / Kusikiliza /

Amos asikitikia hali mbaya katika jimbo lililokubwa na mapigano ya kikabila la Jonglei Sudan Kusini »

jimbo la Jongei

Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura  ambaye amefanya ziara katika jimbo lililokubwa na mapigano ya…

03/02/2012 / Kusikiliza /

Mkutano wa ECOSOC waanza mjini New York »

Balozi Miloš Koterec

Kuangamiza umaskini na ajira kwa vijana yatakuwa kati ya masuala yatayoangaziwa kwenye mkutano wa 50 wa tume ya Umoja wa Mataifa inayohusika…

02/02/2012 / Kusikiliza /
Mkuu wa OCHA awasili Juba Sudan Kusini » Baraza la Usalama liunge mkono mapendekezo ya Umoja wa nchi za Kiarabu:Clinton » Marekani inaunga mkono mipango ya Muungano wa nchi za Kiarabu kuhusu Syria »
Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

Malengo ya maendeleo ya milenia

Matangazo ya moja kwa moja ya UM

Mawasiliano mbalimbali

Hapa na pale

mafuriko nchini Mozambique yasababisha uhaba wa chakula

UM waanza usambazaji wa chakula kwa waathiriwa wa mafuriko nchini Musumbiji »

Shirika la mpango wa chakula duniani WFP limeanza kutoa misaasa nchini Musumbiji ambapo Takriban watu 70,000 wanahitaji kwa dharura usaidizi baada ya taifa hilo kukumbwa na tufani. Usambazaji wa misaada…

03/02/2012 / Kusikiliza /

UM waunga mkono kampeni ya chanjo nchini Cameroon »

chanjo ya Homa ya Manjano

Umoja wa Mataifa umeunga mkono kampeni kubwa ya kutoa chanjo inayoendelea kaskazini mwa Cameroon ambapo kumeripotiwa mkurupuko wa homa ya manjano. Kampeni…

03/02/2012 / Kusikiliza /

Mahakama ya kimataifa yapanga kuwasomea mashtaka watuhumiwa wa mauji wa Hariri nchini Lebanon »

mahakama ya Lebanon

Mahakama huru iliyoanzishwa na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuchunguza mauwaji ya aliyekuwa kiongozi wa Lebanon Rafik Hariri imesema kuwa inakusudia…

03/02/2012 / Kusikiliza /
UM wawataka raia wa DR Congo kuepuka ghasia kwa kutatua mzozo wa kura kwa njia ya amani » Valarie Amos akaribisha kuachiliwa kwa wafanyakazi saba wa misaada Yemen » Mwaka mpya wa utamaduni wa China waanza » Ban ataka pande zinazo zozana nchini Senegal kuachana na vurugu »

Taarifa maalumu