Haile Menkerios atakuwa Mkuu wa Ofisi ya UM kwenye AU: Ban
17/05/2013 / Kusikiliza /
Mkurugenzi mkuu wa shirika la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO Bi Irina Bokova ametumia ziara yake nchini Afghanistan kuchagiza…
20/05/2013 / Kusikiliza /
Kikao cha kudumu cha Umoja wa Mataifa kinachojadili masuala ya makabila asili kimeanza Jumatatu mjini New York, Marekani.Kikao hicho…
20/05/2013 / Kusikiliza /
Wakati idadi ya watu inapoendelea kuongezeka duniani, nayo idadi ya watu mijini inazidi kuongezeka. Watu zaidi wanaendelea kuhamia mijini kutafuta ajira, wakati…
17/05/2013 / Kusikiliza /
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amemteua Mukhisa Kituyi wa Kenya kuwa Katibu Mkuu mpya wa Kamati ya Biashara na…
16/05/2013 / Kusikiliza /
Mkutano wa kimataifa wa Jamii Habari wa tarehe 13 hadi 17 Mei huko Geneva, Uswisi ulioandaliwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa…
16/05/2013 / Kusikiliza /
Ripoti ya pamoja ya ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa na serikali ya Jamhuri ya kidemokrasi ya Kongo, DRC,…
15/05/2013 / Kusikiliza /Baraza kuu la Umoja wa Mataifa wiki iliyopita lilipiga kura ya kuamua kuviondoa visiwa vya Polynesia kutoka kwa ukoloni wa Ufaransa na kuiomba serikali ya Ufaransa kufanya hima . Kupitia…
20/05/2013 / Kusikiliza /
Naunga mkono makubaliano kati ya Urusi na Marekani ya kuandaa kongamano la kimataifa kuhusu Syria, na hiyo ni moja ya kauli za…
17/05/2013 / Kusikiliza /
Hapa mjiniNew York, Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa leo limekutana kujadili maendeleo endelevu na mabadiliko ya tabianchi, likiangazia masuala ya…
16/05/2013 / Kusikiliza /
Ban ateua wawakilishi wake maalum huko Mali na Cote D'Ivoire
Athari za teknohama zaangaziwa Geneva
Sheria dhidi ya mashirika yasiyo ya kibiashara Urusi ni kandamizi: wataalamu huru UM
Tufani Mahasen kuikumba Myanmar na Bangladesh
Mchango wa misitu na wadudu ni mkubwa kukabili njaa:FAO
Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu WTO wafikia ukingoni, mtarajiwa ataja vipaumbele
Mahiga alaani shambulio la bomu na mauaji Mogadishu
Machafuko yaendelea kutawanya watu Pakistan:OCHA
Maafisa washauri wa wahalifu wapewa medali Sudani Kusini
Vifo nchini Iraq vimeongezeka saana tangu 2008:UNAMI
Baraza la usalama lasikitishwa na hali ya usalama Jamhuri ya Afrika ya Kati
UNMISS yakaribisha azimio la amani Sudan Kusini
Wanajeshi Mali wapewa mafunzo
Vyandarua ni muhimu katika kupunguza vifo vitokanavyo na Malaria: UNICEF
Umoja wa mashirika ya posta duniani, UPU umerejelea azma yake ya kutoa msaada wa kiufundi ili kuboresha huduma za posta huko Palestina.Assumpta massoi na taarifa zaidi (RIPOTI YA ASSUMPTA…
20/05/2013 / Kusikiliza /
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema ameingiwa na hali ya wasiasi kufuatua mvutano baina ya Korea mbili, ambazo zimeingia…
20/05/2013 / Kusikiliza /
Wajumbe wa baraza la usalama wamelaani vikali tukio la Mai 15 ambapo kundi la watu wenye silaha wanaoipinga serikali liliwateka wanajeshi watatu…
17/05/2013 / Kusikiliza /