Idhaa ya Redio ya UM

Julai 2009
J J J J A I J
1 2 3 4
5 6 7 8 9 10 11
12 13 14 15 16 17 18
19 20 21 22 23 24 25
26 27 28 29 30 31

Huduma

Navi Pillay

Navi Pillay

Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu anaamini makosa ya vita yamefanyika Usomali

Kamishan Mkuu wa UM juu ya Haki za Binadamu, Navi Pillay, ameripoti Ijumaa kwamba ana ushahidi thabiti wenye kuonyesha ukiukaji mkubwa wa haki za ...
Real
UNICEF

UNICEF inajumuika na mashirika ya kiraia kuhudumia waathirika wa mapigano ya Mogadishu

Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limetangaza kujumuika na shirika la Denmark, lenye kuhudumia wahamiaji (DRC) na pia ...
Real
G8 Summit, 2009.

Viongozi wa G-8 wameahidi msaada wa kilimo wa $20 bilioni kwa nchi masikini

Viongozi wa Kundi la G-8 waliokutana kwenye mji wa L'Aquila, Utaliana kabla ya kuhitimisha kikao chao waliahidi kuchangisha dola bilioni 20 za ...
Real

Ofisa wa MONUC anafafanua binafsi maana ya 'Sikukuu ya Walinzi Amani'

Real
Map of Kenya. UNICEF/Un Spanish Radio

Mahojiano na Naibu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu ya Kenya Hassan Omar

Real
carte geographique Sud Kivu RDC; map; DRC; South Kivu RADIO OKAPI

Mahojiano na Bw M’Bisima Ntakobajira, Mtetezi wa Haki za Binadamu huko Bukavu DRC

Real