Habari za wiki

Machafuko nchini Lebanon yatia wasi wasi:Derek »

Derek Plumbly

Mratibu Maalum wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya Lebanon, Derek Plumbly, amesema leo kuwa amesikitishwa na matukio ya…

21/05/2012 / Kusikiliza /

Timor-Leste yapata rais mpya baada ya muongo mmoja wa uhuru »

uchaguzi nchini Timor-Leste

Taifa la Tomor Leste limeadhimisha mwongo mmoja tangu kurejeshwa kwa uhuru wake katika hafla ambayo pia imekuwa ya kubadili…

21/05/2012 / Kusikiliza /
Mkutano wa wawakilishi wa jamii za kiasili kote duniani wamalizika New York » IOM yawasafirisha Jumla ya watu 1890 kutoka Khartoum kwenda Juba »

Mahojiano na Makala za wiki

Wakimbizi wa Burundi wajivunia uraia wa Tanzania »

Wakimbizi wa Burundi TZ

Wiki hii serikali ya Tanzania imetangaza kuwapatia uraia wakimbizi zaidi wa Burundi wapatao 54,000 ambao wako katika kambi ya Bulyahulu Mkoani Tabora.…

18/05/2012 / Kusikiliza /

Serikali ya Tanzania yatoa Uraia kwa Wakimbizi »

wakimbizi wa Tanzania

Serikali ya Tanzania imetangaza kuwapatia uraia wakimbizi zaidi wa Burundi wapatao 54,000 ambao wako katika kambi ya Bulyahul Mkoani Tabora. Wakimbizi hao…

14/05/2012 / Kusikiliza /
Vyombo vya Habari bado vinakandamizwa nchini Burundi » Juhudi zinahitajika kuleta usawa na kumaliza vita Afrika:Dr Mhando »

Afisa wa UM aahidi msaada kutoka UM kusaidia mkoa wa Kivu »

msaada

Afisa wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya binadamu katika jamhuri ya kidemokrasia ya congo(DRC), Bw. Fidèle Sarassoro, anaahidi kutoa msaada wa…

10/05/2012 / Kusikiliza /

Kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Vyombo vya Habari »

siku ya kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari

Uhuru wa kujieleza ni moja ya haki muhimu kwa watu, na ni uhuru unaozidi uhuru wa aina yoyote ile na kutoa msingi…

03/05/2012 / Kusikiliza /
Nchi nyingi masikini hazijapa suluhu ya malaria » Matarajio na mapendekezo ya raia kwa mkutano wa UNCTAD »

Baraza Kuu -GA na Baraza la Usalama

Ujumbe wa baraza la usalama

Ujumbe wa Baraza la Usalama wazuru Afrika ya Magharibi »

Ujumbe wa Baraza la Usalama uko ziarani Afrika ya Magahribi kufuatilia na kujadili masuala mbalimbali. Akizungumza katika kituo cha kwanza cha ziara yao nchini Liberia balozi wa Marekani kwenye Umoja…

21/05/2012 / Kusikiliza /

Uchumi wa dunia uko katika kipindi kigumu na muhimu:Al-Nasser »

Nassir Abdulaziz Al-Nasser

Uchumi wa dunia umeelezwa kuwa katika kipindi kigumu na muhimu sana. Hayo yamesemwa na Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa…

17/05/2012 / Kusikiliza /

Al-Nasser atoa heshima kwa waliopinga Utumwa na Biashara ya Utumwa »

Nassir Abdulaziz Al-Nasser

Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Nassir Abdulaziz Al-Nasser ametoa heshima zake kwa wale waliopinga utumwa na biashara ya utumwa…

16/05/2012 / Kusikiliza /
Baraza la Usalama limelaani vikali mashambulizi dhidi ya MONUSCO DR Congo » Kamanda wa LRA anayehusika na Ukiukaji wa Haki dhidi ya Watoto akamatwa » Rais wa Baraza Kuu akutana na Kofi Annan kujadili Syria: »
Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

MATAYARISHO YA RIO+20

Malengo ya Maendeleo ya Milenia

Kuungana

Mawasiliano mbalimbali

Hapa na pale

upungufu wa uharibu wa chakula majikoni

Ushirikiano mpya wa FAO na SESI kuendeleza elimu ya kupunguza uharibifu wa chakula »

Shirika la Chakula na Kilimo duniani, FAO, hii leo limesaini mkataba wa ushirikiano na shirika la ki-Brazili la utoaji wa huduma za kijamii viwandani, SESI, ili kutumia mfumo wa Ki-Brazili…

21/05/2012 / Kusikiliza /

Mahiga asikitika na mapigano yaliyotokea eneo la Somaliland »

Augustine Mahiga

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia balozi Augustine Mahiga ameelezea hisia zake kutokana na mapigano yaliyoripotiwa kwenye mji wa Hargeisa…

21/05/2012 / Kusikiliza /

UNHCR inawarejesha nyumbani wakimbizi wa Angola kutoka Namibia »

wakimbizi wa angola warudishwa nyumbani

Wiki hii shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limefanya mipango ya kuwarejesha nyumbani kwa hiyari wakimbizi wa Angola walioko…

18/05/2012 / Kusikiliza /
UM kufanya uchunguzi kuhusu kutumika kwa mamluki nchini Libya » Mtaalam wa Umoja wa Mataifa kuzuru Pakistan Kukagua Utimizaji wa haki » Watu wote wanastahili haki sawa bila kujali hisia za mapenzi:Pillay » Maambukizi ya HIV kwenye makazi ya wakimbizi wa Burundi yaongezeka »

Taarifa maalumu

SIKU YA REDIO DUNIANI