
Sheria kali lazima zitekelezwe kuhifadhi mali ya asili kwenye mazingira ya mapigano, inasema ripoti ya UNEP
06/11/2009
Shirika la UM juu ya Hifadhi ya mazingira (UNEP) limechapisha ripoti mpya, ilioandaliwa na wataalamu wa sheria, inayozingatia kanuni ...
UM umeingiwa wasiwasi juu ya kuzuka mapigano ya kikabila katika JKK kuhusu haki ya uvuvi
06/11/2009
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limetangaza kuingiwa wasiwasi mkubwa juu ya mapigano makali ya kikabila yalizuka wiki iliopita, ...
UNHCR imeomba ifadhiliwe misaada ya kunusuru maisha ya wahamiaji wa Usomali wanaokabiliwa na mafuriko Kenya
06/11/2009
Shirika la UNHCR limetoa ombi maalumu linalowataka wahisani wa kimataifa kuchangisha msaada wa dharura wa dola milioni 2.8 zinazohitajika ...
