Mswada Bungeni Uturuki kuwapa msamaha wanyanyasaji wa watoto
21/11/2016 / Kusikiliza /
habariunamaShambulio la kigaidi nchini Afghanistan lililokatili maiasha ya raia 32 mjini Kabul, limelaaniwa vikali na mpango wa Umoja wa…
21/11/2016 / Kusikiliza /
Vijana ndio wahanga wakubwa wa ajali za barabarani kuliko watu wazima limesema shirika la afya ulimwenguni WHO. Katika ujumbe…
21/11/2016 / Kusikiliza /
Umoja wa Mataifa unasema maendeleo endelevu barani Afrika yanahitaji viwanda ambavyo vitakuza ajira maradufu katika bara hilo ambalo kwa kipindi cha muongo…
21/11/2016 / Kusikiliza /
Kutana na Sheilla Akwara, mwanamuziki kutoka Kenya anayeng'ara katika muziki wa injili. Mwanamuziki huyu ambaye amekuwa katika makao makuu ya Umoja wa…
18/11/2016 / Kusikiliza /
Jumamatu Novemba 14 wiki hii, dunia imeadhimisha siku ya kisukari. Shirika la afya ulimwenguni WHO ni kiranja katika mapambano dhidi ya gonjwa…
18/11/2016 / Kusikiliza /
Shirikisho la mikopo la Umoja wa Mataifa, UNFCU , limetoa tuzo kwa washindi wa shindalo la picha kwa mwaka 2016. Tuzo hizo hujumuisha washiriki…
16/11/2016 / Kusikiliza /Sekta ya uvuvi kimataifa inaingiza wastani wa dola bilioni 135 kwa mwaka kama mapato ya usafirishaji nje wa vidhaa zake, limesema shirika la chakula na kilimo FAO. Sekta hiyo pia…
21/11/2016 / Kusikiliza /
04barazakuutvLeo ni siku ya kimataifa yaTelevisheni. Siku hii ilitangazwa na baraza kuu la Umoja wa Mataifa mwaka wa 1996 ili kuhamasisha kubadilishana…
21/11/2016 / Kusikiliza /
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amekaribisha tamko la mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi au…
18/11/2016 / Kusikiliza /
Baraza la usalama leo limesikiliza ripoti ya Katibu Mkuu kuhusu Sudan na Sudan Kusini, ripoti ya kipindi cha kuanzia Ugosti 12, 2015…
17/11/2016 / Kusikiliza /
Wiki ya #Polisi wa Umoja wa Mataifa- UNMISS
Mobutu na Tshombe, viongozi wa DRC waliotwamisha nchi yao
Ghasia za mara kwa mara DRC vinatutia wasiwasi:OHCHR
UNHCR yaingiza msaada kwa ndege Uganda, huku maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini wakiwasili
Msafara wa misaada washambuliwa huko Aleppo
Mfahamu Patrice Lumumba kupitia simulizi ya Brian Urquhart wa UM
Neno la wiki-Afueni au Ahueni?
Maoni ya mfanyakazi wa MONUSCO #UNpeacekeepingday
Getrude Clement ahutubia Umoja wa Mataifa #MkatabawaParis
Mkutano wa dunia wa maswala ya binadamu
Athari za mabadiliko ya Tabianchi- Video
Mkataba wa Paris kuanza kutiwa saini leo New York
Majukumu ya malezi yanabebwa na watoto
Ban Ki-moon ziarani Burundi
Mabadiliko yanahitajika katika ngazi zote katika jamii ili kuboresha hali ya usawa wa kijinsia makazini , kwa mujibu wa afisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa. Wataalamu kutoka…
21/11/2016 / Kusikiliza /
Mkurugenzi Mkuu wa shirik,a la elimu sayansi na utamaduni UNESCO, Irina Bokova, leo amelaani mauaji ya mwandishi wa habari wa Televisheni, Marcel…
21/11/2016 / Kusikiliza /
Shirika la Umoja wa mataifa la kuhudumia watoto UNICEF, shirika la idadi ya watu UNFPA, kitengo kinachohusika na masuala ya wanawake UN…
21/11/2016 / Kusikiliza /