Habari za wiki

Mwanamuziki 50 Cent aitembelea pembe ya Afrika »

mwanamuziki 50 Cent akiwa na watoto katika pembe ya Afrika

Mwanamuziki maarufu wa mtindo wa rap Curtis Jackson anayefahamika kama 50 Cent alikuwa na fursa ya kujionea hali alipofanya…

10/02/2012 / Kusikiliza /

IOM yapata msaada wa kusadia waathiriwa wa tufani nchini Ufilipino »

waathiriwa wa tufani

Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM limepokea dola 202,000 zaidi kutoka kwa shirika la kimataifa la maendeleo la Canada…

10/02/2012 / Kusikiliza /
Mtaalamu wa haki za binadamu kufanya ziara Palestina Misri na Jordan » Libya yakamilisha sheria mpya za Uchaguzi »

Mahojiano na Makala za wiki

Manusura wa mauaji ya kimbari wa ndani au nje wanahitaji msaada »

Eugene Mukeshimana

Manusura wa mauaji ya kimbari ya Rwanda wako wengi na baadhi yao asilani hawatosahau yaliyowasibu ndugu, jamaa, marafiki hata majirani zao katika…

10/02/2012 / Kusikiliza /

Tatizo la Saratani, adha na athari zake kwa nchi zinazoendelea hasa Afrika »

kiini cha Saratani

Ugonjwa wa Saratani ndio unaoongoza kwa kuua duniani, huku shirika la afya duniani WHO likisema asilimia 13 ya vifo vyote duniani vilivyotokea…

03/02/2012 / Kusikiliza /
Balozi Mulamula aliaga kongamano la maziwa makuu » Serikali na wadau wa afya wakabiliana na kipindupindu DRC »

Mahiga amefurahi sana kwa hatua ya kihistoria ya kuhamisha ofisi yake Somalia »

Balozi Augustine Mahiga akiwa nchini Somalia

Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia Balozi Augustine Mahiga amesema Alhamisi kuwa amefurahi sana kufanikiwa kuhamisha ofisi yake kutoka mjini…

26/01/2012 / Kusikiliza /

Tanzania inadai maili 350 katika bahari ya Hindi »

Bahari ya Hindi

Tanzania imewasilisha ombi la kuongeza eneo la maili 150 hadi 200 za eneo lililo chini ya udhibiti wake kwenye bahari ya Hindi.…

20/01/2012 / Kusikiliza /
Misri yataka makubaliano mapya kuhusu matumizi ya mto Nile » Siku ya kimataifa ya wahamiaji »

Baraza Kuu -GA na Baraza la Usalama

Baraza Kuu

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuijadili hali nchini Syria »

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kukutana siku ya Jumatatu ili kuijadili hali nchini Syria ambapo idadi ya watu wanaouawa inazidi kuongezeka kufuatia mikakati ya jeshi ya kukabiliana na…

10/02/2012 / Kusikiliza /

Baraza Kuu la UM lataka uungwaji mkono kwa mpango wa nyumba wa Kipalestina »

mpango wa nyumba

Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Nassir Abdulaziz Al- Nasser ameyataka mataifa kuunga mkono mpango wa nyumba wa Umoja wa…

09/02/2012 / Kusikiliza /

Hali Kaskazini mwa Kosovo imetulia lakini bado ni ya hatihati »

Edmond Mulet

Juhudi za kutuliza mvutano Kaskazini mwa Kosovo zimezaa matunda lakini hali bado haijatengamana kabisa. Hayo yamesemwa na mwakilishi wa Umoja wa Mataifa…

08/02/2012 / Kusikiliza /
Mkutano wa masuala ya kidini wafanyika kwenye UM » Ban asikitishwa na machafuko yanayoendelea Syria » Urusi na Uchina wapinga azimio la UM kuhusu Syria »
Kipindi Kamili
Kipindi Kamili
Loading the player ...

UN Radio yatimiza miaka 66

Malengo ya maendeleo ya milenia

Matangazo ya moja kwa moja ya UM

Mawasiliano mbalimbali

  • Pande zote DRC kujiingiza kutafuta suluhu ya mzozo wa uchaguzi:UM

    Kucheza video

  • Vijana duniani watiwa hofu na ukosefu wa ajira:UM

    Kucheza video

  • Njaa imeisha Somalia lakini bado nchi hiyo inahitaji msaada:UM

    Kucheza video

  • Ban amefafanua masuala muhimu atakayoyapa kipaumbele katika miaka mitano ijayo

    Kucheza video

  • Ziwa Victoria:Afrika

    Kucheza video

  • Siku ya kumbukumbu ya mauaji:Ban

    Kucheza video

  • Wito wa kumaliza mlipuko wa nyuklia

    Kucheza video

  • Mchezo wa mtandao wa kupiga vita njaa wapata washirika milioni moja

    Kucheza video

  • UM unazitaka jamii za Sudan Kusini kutatua tofauti kwa amani

    Kucheza video

  • Jukumu la UM wakati wa kujadili serikali ya mpito ya Afganistan

    Kucheza video

  • UM unahitajika sasa kuliko wakati mwingine wowote:Ban

    Kucheza video

  • Ban atoa wito kwa viongozi wa dunia kufanya maendeleo halisi kwa mazungumzo mjini Durban

    Kucheza video

  • Mwaka wa kimataifa wa misitu-2011

    Kucheza video

  • Sherehe zisizoisha ndio chanzo cha Ukimwi

    Kucheza video

Hapa na pale

Oscar Fernandez

UM yawataka wanasiasa Maldives kuketi kwenye majadiliano »

Umoja wa Mataifa umewatolea mwito pande zinazokinzana nchini Maldives kujiweka kando na matumizi ya nguvu na kuanzisha majadiliano ya mezani kwa shabaha ya kutanzua mkwamo wa kisiasa uliojitokeza hivi karibuni.…

10/02/2012 / Kusikiliza /

Ban akutana na Afisa wa Serbia kujadilia mkwamo wa Kosovo »

Ban na waziri wa Nje wa Kosovo Vuk Jeremic

  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban-Ki-moon amekuwa na mazunguzmo na waziri wa mambo ya Nje wa Serbia Vuk Jeremic na…

10/02/2012 / Kusikiliza /

Sudan Kusini yaanzisha kituo kuwasaidia askari wa zamani kurejea uraiani »

raia wa Sudan Kusini

Vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa vilivyoko huko Sudan Kusin vimepiga jeki uzinduzi wa ujenzi wa kituo maalumu ambacho kinakusudia…

10/02/2012 / Kusikiliza /
Afisa wa UM asisitiza haja ya kuimarisha operesheni za amani DRC » UNESCO na taasisi ya kimataifa ya amani watia saini makubaliano » Ban atilia shaka kuzuka kwa ghasia Mali » Ban akaribisha uzinduzi wa utaratibu unaolenga kusaidia kutatua mzozo Darfur »

Taarifa maalumu